Mungu Wangu Hasaidiwi Lyricsby Johny Kavishe ft. Paul Clement

Yuko wapi mungu dagoni
Asimame mbele ya sanduku la agano
Wako wapi manabii wa baali
Wamuite mungu waoo ashushe moto
 
Mungu Wangu hasaidiwi kufanya,
Mungu hasaidiwi kutenda, 
Hufanya vile apendavyo 
Hufanya vile atakavyo

Mungu ni mmoja tu
Na asili yake ni Yeye mwenyewe
Na sisi tumetokana na Yeye
Ametuumba kwa mfano wake

Mungu si mwanadamu
Wala yeye si sanamu
Mungu si mwanadamu hata ajute
Wala si kiziwi hata asisikie

Hivyo miungu yote goti itapiga
T1ena itakiri Yesu ndiye Bwana