Ameniweka Huru Kweli Lyrics By Papi Clever & Dorcas

Ameniweka huruu kweli 
Naimba sasa hallelujah 
Kwa msalaba nmepata 
Kutoka katika utumwa


Nmeokoka nafurahii 
Na dhambi zangu zimetoka 
Nataka kumtumikia 
Mwokozi wangu siku zote


Zamani nlifungwa sana 
Kwa minyoro ya shetani 
Nikampea bwana Yesu 
Akaniweka huru kweli 


Nimeokoka nafurahii 
Na dhambi zangu zimetoka 
Nataka kumtumikia 
Mwokozi wangu siku zote

Neema kubwa nilipata
Kuacha njia ya mauti, Na nguvu ya wokovu
Huo yanichukua siku zote

Nimeokoka nafurahii 
Na dhambi zangu zimetoka 
Nataka kumtumikia 
Mwokozi wangu siku zote

Na siku moja nitafika
Mbinguni kwake Mungu wangu Milele nitamhimidi
Na kumwimbia kwa shukrani

Nimeokoka nafurahii 
Na dhambi zangu zimetoka 
Nataka kumtumikia 
Mwokozi wangu siku zote