Mwokozi Wetu Lyrics By Papi Clever & Dorcas

Mwokozi wetu anatupa furaha duniani
Atuongoza kwa neema na anatushibisha
Tazama, yupo pamoja nasi, neema haitaisha kamwe! 
Haleluya, haleluya, haleluya, Amina!
Tazama, yupo pamoja nasi, neema haitaisha kamwe! 
Haleluya, haleluya, haleluya, Amina!


Ni vema kumpenda Mungu aliyetukomboa
Vizuri kuwa mtu wake, sitapotea kamwe
Furaha yetu itabakia, ikiwa vyote vingetoweka
Haleluya, haleluya, haleluya, Aminia!
Furaha yetu itabakia, ikiwa vyote vingetoweka
Haleluya, haleluya, haleluya, Aminia!


Ikiwa giza mara nyingi, na jua likifichwa
Na tukijaribiwa huku twajuwa ni kwa mda
Mbinguni hatutaona kamwe huzuni wala machozi tena
Haleluya, haleluya, haleluya, Aminia!
Mbinguni hatutaona kamwe huzuni wala machozi tena
Haleluya, haleluya, haleluya, Aminia!


Na tusisumbukie tena chakula wala nyumba, 
Maana vyote twavipata kwa ne’ma yake Mungu. 
Njiani yote atuongoza aichukuwa mizingo yetu
Haleluya, haleluya, haleluya, Aminia!
Njiani yote atuongoza aichukuwa mizingo yetu
Haleluya, haleluya, haleluya, Aminia!