E'Mungu Mwenye Kweli Lyrics By Papi Clever & Dorcas

E’ mungu mwenye kweli 
Nakuamini sana 
Maneno yako yote 
Milele yatadumu.
Maneno yako yote 
Milele yatadumu.

Niiti kati shida 
Nitakusaidia 
Nategemea mwanga 
Ahadi yako hiyo
Nategemea mwanga 
Ahadi yako hiyo

Nakatika uchungu 
Ni heri kuamini
Naweka roho yangu 
Kulindwa nawe Baba
Naweka roho yangu 
Kulindwa nawe Baba.

Uliyenifundisha 
Kuita jina lako 
Naona tumaini 
Na tegemeo kwako
Naona tumaini 
Na tegemeo kwako

Ninavyoomba kweli 
Najua wasikia
Yaliyo mema kwangu 
Najua wayafanya
Yaliyo mema kwangu 
Najua wayafanya

Katika shida kali
Waweza kunilinda
Wanichukua mimi 
Na masumbuko yangu
Wanichukua mimi 
Na masumbuko yangu